Job 12:7-9


7 a“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha,
au ndege wa angani, nao watawaambia;

8 au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha,
au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.

9 bNi nani miongoni mwa hawa wote asiyejua
kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
Copyright information for SwhKC